Machapisho

MAGAZETI LIVE ON JITATZ

Picha
Habari kubwa kwenye magazeti yetu ya Leo April 27, 2018.

SABABU ZA KUSHINDWA KWA MAANDAMANO

Picha
*SABABU ZA KUSHINDWA KWA MAANDAMANO YA MBOWE KUPITIA  MANGE*. Imeandikwa na; *Philipo Mwakibinga* 26/04/2018. Kwanza nitoe niweke wazi  kuwa mimi ni mzoefu na nguli wa maandamano na jamii ninayoishi nayo inajua hivyo. Nilianza kuandamana kabla hata Mange hafikiri wala kutamani kuandamana, kipindi mimi naandamana na kuongoza maandamano ambayo yalikuwa yanaungwa mkono na yalileta tija, Mange alikuwa miongoni mwa wanaopinga na kubeza maandamano. Kwa kua alikuwa upande wa waliochukizwa na maandamano nidhahili kuwa  Mange alikuwa hajawahi kabisa kuamini au kuota kama angetamani sikumoja kuandamana, hali hii ilimfanya ashindwe hata kujifunza au kupata nafasi ya kuelimishwa au kujielimisha juu ya maamdamano. Mange kajikuta  anatumia nguvu nyingi kuandaa maandamano hewa. Ni maandamano hewa kwasababu kashindwa na hatokuja kurudia tena kuamini kuwa anaweza kuandamanisha Watanzania. *Kwasababu zifuatazo Mange kashindwa;* *1*.Mange kwa dhamira yake ya dhati hana sababu...

magazetini leo mange kimambi pasua kichwa!!

Picha
Habari kubwa kwenye magazeti ya Leo April 26, 2018.

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO APRIL 24/2018

Picha
magazeti ya leo April 24/2018 By  jitatz blog  - April 24, 2018 6       

RAIS AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI ASUBUI HII

Picha
Asubuhi ya leo April 23, 2018, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, amefanya mabadiliko ya kiuongozi katika Benki ya Posta Tanzania (TPB). Rais Magufuli amemteua Dkt. Edmund Bernard Mndolwa kuwa Mwenyekiti  wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Prof. Lettice Rutashobya, ambae amemaliza muda wake. Kwa mujibu wa Ikulu, uteuzi wa Dkt. Edmund Bernard Mndolwa umeanza  leo tarehe 23, April, 2018.